Tuesday, September 17, 2013
Tabia Zitakazokimbiza Wachumba
12:27 PM
| Posted by
MWAFRIKASILI
|
Tabia
Zitakazokimbiza Wachumba
Posted by womanofchrist
Wasichana wengi wanalalamika mimi
sijaolewa, akija mtu kunichumbia baada ya muda mfupi
anakata mawasiliano,
hakuna anayetaka kunichumbia n.k. Ni kweli kuna wakati na kusudi kwa kila jambo
lakini pia mara nyingine matendo yetu yanaweza kusababisha kupata na kukosa
vitu fulani. Kuna tabia ambazo hufukuza na kukimbiza wakaka wanapotaka au wanapokuchumbia.
Angalia kama unazo ufanye jitihada la sivyo unaweza mlaumu Mungu bure:
1. Mizaha mingi
Kuna mtu alisema ukipewa karama ya kuongea omba Mungu akupe na hekima, ni kweli kabisa. Haipendezi mtu kuwa unaongea hadi unapililiza na kuwafanya watu kujisikia vibaya. Maongezi yaliyojaa mizaha ya kupililiza kweli utamkimbiza potential husband. Kuwa na staha kwenye maongezi yako.
Kuna mtu alisema ukipewa karama ya kuongea omba Mungu akupe na hekima, ni kweli kabisa. Haipendezi mtu kuwa unaongea hadi unapililiza na kuwafanya watu kujisikia vibaya. Maongezi yaliyojaa mizaha ya kupililiza kweli utamkimbiza potential husband. Kuwa na staha kwenye maongezi yako.
2. Kupenda kukosoa hadharani
Watu wanaokuzunguka wanakujua vizuri, ukiwa mtu wa kuwakosoa wengine hadharani hakika utaogopwa. Mtu anaongea katika lundo la watu akakosea kidogo wewe unamkosoa mbele za watu hiyo haifai, au mtu kavaa kakosea kupangilia wewe unamkosoa mbele za watu.
Watu wanaokuzunguka wanakujua vizuri, ukiwa mtu wa kuwakosoa wengine hadharani hakika utaogopwa. Mtu anaongea katika lundo la watu akakosea kidogo wewe unamkosoa mbele za watu hiyo haifai, au mtu kavaa kakosea kupangilia wewe unamkosoa mbele za watu.
3. Kushurutisha
Ndio kwanza mmeanza mahusiano wewe unataka kujua tarehe ya harusi, unampangia marafiki zake na mahali pa kwenda, unapanga hadi makochi ya sebuleni kwenu yatakuwaje. Yani wewe ndiyo unakuwa na ratiba yake, usiende huku, nenda kule, njoo hapa, haaaa huyo atakuvumilia kwa muda tu. Akimpata kwenye kumheshimu hapo utaona anakata mawasiliano taratibu maana hakuna mwanaume anayetaka kushurutishwa.
Ndio kwanza mmeanza mahusiano wewe unataka kujua tarehe ya harusi, unampangia marafiki zake na mahali pa kwenda, unapanga hadi makochi ya sebuleni kwenu yatakuwaje. Yani wewe ndiyo unakuwa na ratiba yake, usiende huku, nenda kule, njoo hapa, haaaa huyo atakuvumilia kwa muda tu. Akimpata kwenye kumheshimu hapo utaona anakata mawasiliano taratibu maana hakuna mwanaume anayetaka kushurutishwa.
4. Kuomba hela mara kwa mara
Leo hela ya saluni, kesho mtaji umekata, mara ada ya mdogo wako hajakaa sawa mama anaumwa dah.. sikatai kusaidiana ila usiwe ndio kila siku unataka kusaidiwa tena fedha. Unambeep akipiga unamwambia akutumie salio au Mpesa akituma unabeep tena akipiga unamwambia asante nimepata. Nakwambia hata kama anakupenda vipi ataazimia kukuacha kwa siri kama Yusufu.
Leo hela ya saluni, kesho mtaji umekata, mara ada ya mdogo wako hajakaa sawa mama anaumwa dah.. sikatai kusaidiana ila usiwe ndio kila siku unataka kusaidiwa tena fedha. Unambeep akipiga unamwambia akutumie salio au Mpesa akituma unabeep tena akipiga unamwambia asante nimepata. Nakwambia hata kama anakupenda vipi ataazimia kukuacha kwa siri kama Yusufu.
Jichunguze na uchukue hatua, usije
kumlaumu shetani kwa kosa lako mwenyewe..
Tafuta hapa
Kuhusu sisi
Karibu kwenye Blog hii, naamini hautatoka bure na wala hautajuta kuitembelea Blog hii. Karibu sana
Habari Maarufu
-
Code of ethics/code of conduct The term code of ethics and code of conduct have been used interchangeably by teachers and organizatio...
-
TAMBUA MUDA WA KUISHA MATUMIZI YA TAIRI ZAKO Tairi za gari/ pikipiki zinamuda maalumu wa matumizi hivyo ni muhimu sana kujua muda ha...
-
In most communities, there has been, and there still is, a deeply embedded conviction that, under proper conditions, people can help ot...
-
K weli huyu mbunifu wa jengo hili anastahili pongezi za dhati. Kwa kuwa jengo ni imara pamoja na kunyeshewa na mvua nyingi halijawah...
-
PSYCHOSOCIAL IMPACTS OF HAIR BEAUTY AMONG WOMEN Women have always suffered for beauty. It is important to assess by how much and in w...
Blog Malimbali
All rights reserved by Mwafrikasili - Blog design by ARM's pRo. Powered by Blogger.
Tafsiri
Hati Miliki
© 2013 Mwafrikasili
0 Maoni:
Post a Comment